Jermeri

Sanamu yake.

Jermeri (kwa Kifaransa: Germier; aliishi karne ya 6 au karne ya 7) alikuwa kwa miaka minne askofu wa Toulouse nchini Ufaransa ambaye alijitahidi kutembelea waumini wake na kuinjilisha bonde la mto Garonne[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi[2] kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Mei[3].

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/53480
  2. May 16. Latin Saints of the Orthodox Patriarchate of Rome.
  3. Martyrologium Romanum

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne