Kimandari (au Kimundari) ni lugha ya Kinilo-Sahara nchini Sudan Kusini inayozungumzwa na Wamandari. Idadi ya wasemaji wa Kimandari haijulikani. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kimandari iko katika kundi la Kinilotiki.
Developed by Nelliwinne