Wasebei

Wasebei ni kabila linaloishi hasa kwenye mlima Elgon, mashariki mwa Uganda (wilaya ya Kapchorwa).

Lugha zao ni Kisebei na Kikupsabiny ambazo ni kati ya Lugha za Kiniloti.

Tangu zamani ni wafugaji wa ng'ombe[1] .

Leo wanakadiriwa kuwa 275,000 upande wa Uganda na wachache zaidi nje yake; wengi wao ni Wakristo.

  1. Goldschmidt, Walter; Gale Goldschmidt (1976). Culture and Behavior of the Sebei: A Study in Continuity and Adaptation. Berkeley, California: University of California Press. uk. 11. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-08-05. Iliwekwa mnamo 11 Septemba 2010. {{cite book}}: Unknown parameter |dead-url= ignored (|url-status= suggested) (help)CS1 maint: date auto-translated (link)

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne