Bangladesh

গণপ্রজাতন্ত্রী বাংলােদশ
Gônoprojatontri Bangladesh

Jamhuri ya Watu wa Bangladesh
Bendera ya Bangla Desh Nembo ya Bangla Desh
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa:
Wimbo wa taifa: Amar Shonar Bangla
"Bengali yangu ya dhahabu"
Lokeshen ya Bangla Desh
Mji mkuu Dhaka
23°42′ N 90°22′ E
Mji mkubwa nchini Dhaka
Lugha rasmi Kibengali (Bangla)
Serikali Jamhuri
Abdul Hamid
Sheikh Hasina
Uhuru
Ilitangazwa
Siku ya Ushindi
26 Machi 1971
16 Desemba 1971
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
147,570 km² (ya 94)
6.4
Idadi ya watu
 - 2013 kadirio
 - 2001 sensa
 - Msongamano wa watu
 
156,594,962 (ya 8)
129,247,233
1,033.5[1]/km² (ya 12)
Fedha Taka (BDT)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
BDT (UTC+6)
not observed (UTC+6)
Intaneti TLD .bd
Kodi ya simu +880 - SubCodes

-



Bangladesh (pia: Bangla Desh; kwa Kibengali: বাংলাদেশ, bāṃlādeś) ni nchi ya Asia ya Kusini.

Imepakana na Uhindi pande zote barani isipokuwa mpaka mfupi wa km 193 na Myanmar upande wa kusini-mashariki na pwani ya Ghuba ya Bengali.

  1. World Bank Development Indicators Database, 2006.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne