Gabon

Jamhuri ya Gabon
République Gabonaise (Kifaransa)
Kaulimbiu ya taifa:
Union, Travail, Justice (Kifaransa)
"Umoja, Kazi, Haki"
Wimbo wa taifa: La Concorde (Kifaransa)
"Mapatano"
Mahali pa Gabon
Mahali pa Gabon
Ramani ya Gabon
Ramani ya Gabon
Mji mkuu
na mkubwa nchini
Libreville
0°23′ N 9°27′ E
Lugha rasmiKifaransa
MakabilaKupita makabila 40
SerikaliJamhuri
yenye baraza la majeshi
 • Kaimu RaisBrice Oligui Nguema
Eneo
 • Eneo la jumlakm2 267 668
Idadi ya watu
 • Kadirio la 20232 397 368
Pato la taifaKadirio la 2023
 • JumlaPunguko USD bilioni 19.319
 • Kwa kila mtuPunguko USD 8 831
Pato halisi la taifaKadirio la 2023
 • JumlaOngezeko USD bilioni 41.922
 • Kwa kila mtuOngezeko USD 19 165
Maendeleo (2021)Ongezeko 0.706 - juu
SarafuFaranga ya CFA
Majira ya saaUTC+1
(Afrika ya Magharibi)
Msimbo wa simu+241
Msimbo wa ISO 3166GA
Jina la kikoa.ga


Gabon, kirasmi Jamhuri ya Gabon, ni nchi huru ya Afrika ya Magharibi ya kati.

Imepakana na Guinea ya Ikweta, Kamerun, Jamhuri ya Kongo na Ghuba ya Guinea.

Nchi hii ina umma mdogo, madini na mali kwa wingi, na wafanyabiashara kutoka nchi za kigeni wameweza kufanya Gabon iwe nchi yenye maendeleo makubwa.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne