Japani

日本(国)
Nippon/Nihon (koku)

Japani
Bendera ya Japani Nembo ya Japani
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: {{{national_motto}}}
Wimbo wa taifa: "Kimi Ga Yo (君が代)"
(Utawala wa Kaisari)
Lokeshen ya Japani
Mji mkuu Tokyo
35°41′ N 139°46′ E
Mji mkubwa nchini marundiko ya Toko1
Lugha rasmi Kijapani (Nihongo)
Serikali Ufalme wa kikatiba
Naruhito (徳仁)
Fumio Kishida (岸田 文雄)
Tarehe za Kihistoria
Mwanzo wa Taifa
Katiba ya Meiji
Katiba ya Japani
Mkataba wa San Francisco

11 Februari, 660 BCE2
29 Novemba 1890
3 Mei 1947
28 Aprili 1952
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
377,944 km² (ya 62)
1.4%
Idadi ya watu
 - 2021 kadirio
 - 2020 sensa
 - Msongamano wa watu
 
125,360,000 (ya 10)
126,226,568
334/km² (ya 36)
Fedha Yen (¥) (JPY)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
JST (UTC+9)
None (UTC)
Intaneti TLD .jp
Kodi ya simu +81
1 Yokohama ni mji mkubwa kisheria, lakini marundiko ya Tokyo (pamoja na Yokohama na miji mingine) ni makubwa. 2 Mapokeo ya Kijaponi hudai taifa lilianzishwa siku hiyo na Tenno Jimmu anayesemekana alikuwa Kaisari wa kwanza wa nchi.


Ramani ya Japani

Japani ni nchi ya visiwa katika Pasifiki, mkabala wa mwambao wa mashariki ya Asia. Wajapani wenyewe hutumia jina la "Nihon" au "Nippon" lenye maana ya "Mwanzo wa jua". Hivyo Japani huitwa pia "Nchi ya Macheo".

Nchi ina eneo la km² 377.944; na wakazi milioni 127; idadi hiyo imeanza kupungua.

Japani ni kati ya nchi za dunia zilizoendelea sana upande wa sayansi, teknolojia na uchumi. Ilikuwa nchi ya kwanza nje ya Ulaya iliyofaulu kujenga jamii ya viwanda.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne