Kamusi

Kamusi za Kiswahili
Kamusi ya Kiswahili-Kiswahili (kamusi wahidiya)
Kamusi ya Kiswahili - Kiingereza (kamusi thania)

Kamusi (kutoka neno la Kiarabu قاموس qamus) ni kitabu ambacho kinaorodhesha maneno ya lugha yaliyokusanywa kutoka kwa watumiaji wa lugha fulani, kwa mfano lugha ya Kiswahili.

Maneno hupangwa kwa mtindo wa alfabeti, hutoa maana, asili na ufafanuzi wa utumizi wa maneno na jinsi yanavyotumika au yanavyotamkwa.[1]

  1. Masuko Christopher Saluhaya, 2013. ISBN 978 9987 9581 1 5.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne