Kanada

Canada
Bendera ya Canada Nembo ya Canada
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Kilatini: A Mari Usque Ad Mare
("Bahari hadi bahari")
Wimbo wa taifa: "O Canada"
Wimbo wa kifalme: "God Save the King"
Lokeshen ya Canada
Mji mkuu Ottawa
45°24′ N 75°40′ W
Mji mkubwa nchini Toronto
Lugha rasmi Kiingereza, Kifaransa
Serikali Ufalme wa kikatiba, shirikisho,
demokrasia
Charles III
Mary Simon
Justin Trudeau
Uhuru
Sheria ya 1867
Mkataba wa Westminster
Sheria kuhusu Kanada

1 Julai 1867
11 Desemba 1931
17 Aprili 1982
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
9,984,670 km² (ya 2)
11.76
Idadi ya watu
 - 2023 kadirio
 - 2021 sensa
 - Msongamano wa watu
 
39,858,480 (ya 37)
36,991,981
4.2/km² (ya 236)
Fedha Dollar ya Kanada ($) (
CAD
)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-3.5 to -8)
(UTC-2.5 to -7)
Intaneti TLD .ca
Kodi ya simu +1



Kanada ni nchi kubwa ya Amerika ya Kaskazini na ya pili duniani kwa eneo baada ya Urusi, lakini idadi ya wakazi ni 39,858,480 tu (2023).

Kwenye nchi kavu imepakana na Marekani bara na jimbo la Alaska. Mbele ya pwani zake kuna kisiwa kikubwa cha Greenland ambacho ni chini ya Denmark halafu visiwa vidogo vya St. Pierre na Miquelon (Ufaransa).

Mji mkuu ni Ottawa.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne