Kifaransa

Matumizi ya Kifaransa duniani: Buluu nyeusi: Lugha ya kwanza ya watu wengi; buluu: Lugha rasmi;
Buluu nyeupe: Lugha ya mawasiliano; Kijani: Lugha ya watu wachache

Kifaransa (kwa Kifaransa: français) ni lugha ya Ufaransa (pamoja na maeneo yake ya ng'ambo), Ubelgiji ya Kusini, Uswisi ya Magharibi, Luxemburg na Kanada. Inazungumzwa pia katika nchi nyingi za Afrika kama vile Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Senegal, Mali, Shelisheli, Chad, n.k., Asia ya Kusini na Amerika zilizokuwa makoloni ya Ufaransa.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne