Kijiji

Kijiji cha Waberberi huko Ourika, Atlas, Moroko
Kijiji cha mbali huko Benin

Kijiji maana yake kwa Kiswahili ni mji mdogo. Kadiri ya mazingira, kinaweza kuwa na wakazi mia chache hadi elfu chache.

Kwa kawaida vinapatikana mbali na miji, mashambani au porini kabisa.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne