Kilatini

Nahau ya Kilatini ("Kukosa ni jambo la kibinadamu").

Kilatini ni lugha ya kihistoria ambayo siku hizi haina tena wasemaji kama lugha ya kwanza, lakini bado hufundishwa katika shule, vyuo na hata kutumiwa kama lugha ya pili. Ilikuwa pia lugha ya kimataifa ya elimu na hata leo istilahi nyingi za kisayansi zimetoka katika Kilatini.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne