Kiongozi

Kiongozi wa Tanzania,J.P. Magufuli

Kiongozi ni mtu ambaye huongoza kikundi cha watu[1]. Mara nyingi kiongozi hupewa heshima ya juu katika jamii, kikundi cha watu au katika familia ambapo huheshimiwa na watu wote katika eneo husika analolisimamia kiongozi kwa ajili ya kuwaongoza watu.

  1. https://wol.jw.org/sw/wol/d/r13/lp-sw/2002201

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne