Kitabu cha Methali

Kitabu cha Methali kwa Kiebrania.

Kitabu cha Mithali kimo katika Tanakh (Biblia ya Kiebrania), hivyo pia katika Agano la Kale la Biblia ya Kikristo ambamo ni cha kwanza kati ya vitabu vya hekima.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne