Kuba

-Kwa "kuba" (pia: kubba) kama sehemu ya jengo tazama Kuba (jengo)-
República de Cuba
Jamhuri ya Kuba
Bendera ya Kuba Nembo ya Kuba
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Kihispania: Patria o Muerte
(„Taifa au mauti“)[1]
Wimbo wa taifa: "La Bayamesa" ("Wimbo la Bayamo")
Lokeshen ya Kuba
Mji mkuu Havana
23°8′ N 82°23′ W
Mji mkubwa nchini Havana
Lugha rasmi Kihispania
Serikali Jamhuri ya kijamii
Miguel Díaz-Canel
Uhuru
Kutoka Hispania
tangazo la Jamhuri ya Kuba
tarehe inayokumbukwa nchini Kuba

10 Oktoba 1868
20 Mei 1902
1 Januari 1959
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
110,861 km² (ya 105)
negligible
Idadi ya watu
 - [[]] kadirio
 - 2013 sensa
 - Msongamano wa watu
 
(ya 73)
11,210,064
102/km² (ya 106)
Fedha Peso (CUC)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
EST (UTC-5)
(Starts 1 Aprili, end date varies) (UTC-4)
Intaneti TLD .cu
Kodi ya simu +53

-


Ramani ya Kuba.

Kuba (pia: Kyuba; kwa Kihispania: Cuba) ni nchi ya kisiwani katika Bahari ya Karibi kusini kwa Marekani. Nchi hiyo inajumuisha kisiwa kikuu cha Kuba ambacho pia ni kisiwa kikubwa cha Antili Kubwa pamoja na kisiwa cha Isla de la Juventud na visiwa vidogo vingine vingi.Kuba ni nchi kubwa kati ya nchi za Karibi yenye wakazi wengi.

Utamaduni wake unaonyesha athari za historia yake kama koloni la Hispania kwa miaka mingi, pia ya wakazi wenye asili katika watumwa kutoka Afrika na ya kuwa jirani na Marekani.

  1. As shown on the obverse of the coins; see "this photo of a 1992 coin". Iliwekwa mnamo 2006-09-26. Note that the Spanish word "Patria" is better translated into English as homeland, rather than "fatherland" or "motherland".

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne