Miujiza ya Yesu

Kristo Akitembea juu ya Maji, kadiri ya Ivan Aivazovsky, 1888.
Mfululizo wa kurasa juu ya Yesu
Yesu
Yesu Kristo na Ukristo

Umwilisho  • Utoto wa Yesu  • Ubatizo
Arusi ya Kana • Utume wa Yesu • Mifano ya Yesu  • Miujiza ya Yesu
Kugeuka sura • Karamu ya mwisho • Msalaba wa Yesu  • Maneno saba
Kifo cha Yesu  • Ufufuko wa Yesu
Kupaa mbinguni  • Ujio wa pili
Injili  • Majina ya Yesu katika Agano Jipya  • Yesu kadiri ya historia  • Tarehe za maisha ya Yesu • Kristolojia

Mazingira ya Yesu

Wayahudi • Kiaramu • Bikira Maria • Yosefu (mume wa Maria) • Familia takatifu • Ukoo wa Yesu • Ndugu wa Yesu • Yohane Mbatizaji

Mitazamo juu ya Yesu

Mitazamo katika Agano Jipya · Mitazamo ya Kikristo • Mitazamo ya Kiyahudi • Mitazamo ya Kiislamu • Yesu katika sanaa

Miujiza ya Yesu ni matendo yapitayo sheria za maumbile[1] yaliyofanywa na Yesu kadiri yanavyosema maandiko matakatifu ya Ukristo na Uislamu. Ilikuwa mingi sana; hata hivyo Injili ya Yohane (21:25) inashuhudia kwamba michache tu imeandikwa.[2][3][4]

Kati ya miujiza hiyo, kuna mazinguo ya kufukuza pepo wachafu, uponyaji wa maradhi mbalimbali (homa, ukoma, safura, kupooza mkono au mwili mzima, kupinda kwa mgongo, kutokwa damu mfululizo, upofu, uziwi, ububu na vilema vingine), ufufuo wa wafu, na ushindi juu ya uasilia (kama kugeuza maji kuwa divai, kutembea juu ya maji ya ziwa, kutuliza dhoruba na kuzidisha mkate na kitoweo cha samaki).[5][6]

  1. Baker Theological Dictionary of the Bible defines a miracle as "an event in the external world brought about by the immediate agency or the simple volition of God." It goes on to add that a miracle occurs to show that the power behind it is not limited to the laws of matter or mind as it interrupts fixed natural laws. So the term supernatural applies quite accurately. Elwell, Walter A., ed. (2001). Baker Theological Dictionary of the Bible. Baker Academic. .
  2. Harris, Stephen L., Understanding the Bible. Palo Alto: Mayfield. 1985. "John" p. 302-310
  3. Hitilafu ya kutaja: Invalid <ref> tag; no text was provided for refs named Catholic Encyclopedia on Miracles
  4. The emergence of Christian theology by Eric Francis Osborn 1993 ISBN 0-521-43078-X page 100
  5. Graham H. Twelftree, Jesus the Miracle Worker: A Historical and Theological Study (InterVarsity Press, 1999) page 263.
  6. H. Van der Loos, 1965 The Miracles of Jesus, E.J. Brill Press, Netherlands.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne