Mmonaki

Wamonaki wa Ubuddha wakijadiliana katika Sera Monastery, Tibet
Abati wa monasteri ya Ubuddha anafundisha wanovisi, Uttaradit, Thailand.

Mmonaki (kutoka Kigiriki μοναχός, monachos, "wa pekee") ni mwanamume au mwanamke anayefanya juhudi za pekee katika dini yake, akiishi peke yake au katika jumuia ya kitawa, ambayo nyumba yake inaitwa monasteri.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne