Monako

Principauté de Monaco
Principatu de Munegu

Utemi wa Monako
Bendera ya Monako Nembo ya Monako
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Deo Juvante
(kwa Kilatini: Kwa msaada wa Mungu)
Wimbo wa taifa: Hymne Monégasque
Lokeshen ya Monako
Mji mkuu Monaco1
43°44′ N 7°24′ E
Eneo lenye watu wengi Monte Carlo
Lugha rasmi Kifaransa2
Serikali Ufalme wenye katiba
(Utemi)
Albert II
Uhuru
Watemi wa Grimaldi kukubaliwa
na mfalme wa Ufaransa
kuwa wanajitegemea
1489
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
2.02 km² (193rd)
0.0%
Idadi ya watu
 - 2011 kadirio
 - 2008 sensa
 - Msongamano wa watu
 
36,371 (ya 217)
35,352
18,005/km² (ya 1)
Fedha Euro (EUR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET (UTC+1)
CEST (UTC+2)
Intaneti TLD .mc
Kodi ya simu +377

-

1Monako ni dola-mji. 2Kiitalia hutumiwa pia na wengi



Map of Monaco

Utemi wa Monako (kwa Kifaransa: Principauté de Monaco; kwa Kimonako: Principatu de Munegu) au "Monako" kwa kifupi ni kati ya nchi ndogo kabisa duniani. Kuna nchi moja tu ndogo zaidi ambayo ni mji wa Vatikano. Hali halisi ni dola-mji ambako mji ni sawa na nchi na dola lote.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne