Namibia

Republic of Namibia
Jamhuri ya Namibia
Bendera ya Namibia Nembo ya Namibia
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Unity, Liberty, Justice
Wimbo wa taifa: Namibia, Land of the Brave (Namibia, nchi ya mashujaa)
Lokeshen ya Namibia
Mji mkuu Windhoek
22°33′ S 17°15′ E
Mji mkubwa nchini Windhoek
Lugha rasmi Kiingereza1
Serikali Jamhuri
Nangolo Mbumba
Saara Kuugongelwa
Uhuru
Kutoka Afrika Kusini
21 Machi 1991
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
825,615 km² (ya 34)
kidogo sana
Idadi ya watu
 - Julai 2023 kadirio
 - 2011 sensa
 - Msongamano wa watu
 
2,777,2322 (ya 141)
2,113,077
3.2/km² (ya 235)
Fedha Namibia dollar (NAD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+1)
(UTC)
Intaneti TLD .na
Kodi ya simu +264

-


Namibia ni nchi ya Afrika ya Kusini kwenye pwani ya Atlantiki.

Imepakana na Angola, Zambia, Zimbabwe Botswana na Afrika Kusini.

Imepata uhuru wake kutoka Afrika Kusini mwaka 1990 baada ya vita vya ukombozi.

Mji mkuu ni Windhoek (wakazi 431,000 hivi mwaka 2020).


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne