Saba (namba)

Mabadiliko katika kuandika saba

Saba ni namba ambayo inafuata sita na kutangulia nane. Kwa kawaida inaandikwa 7 lakini VII kwa namba za Kiroma na ٧ kwa zile za Kiarabu.

7 ni namba tasa.

Namba hiyo katika Kiswahili ina asili ya Kiarabu pamoja na sabini (saba mara kumi).


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne