San Francisco

Mji wa San Francisco






Jiji la San Francisco

Bendera
Jiji la San Francisco is located in Marekani
Jiji la San Francisco
Jiji la San Francisco

Mahali pa mji wa San Francisco katika Marekani

Majiranukta: 37°46′46″N 122°25′09″W / 37.77944°N 122.41917°W / 37.77944; -122.41917
Nchi Marekani
Jimbo California
Wilaya San Francisco
Tovuti:  www.sfgov.org
Mahali pa San Fransisco katika Kalifornia
Reli ya manisipaa aina ya Cable Car
Bendera ya San Francisco

San Francisco ni mji wa Marekani uliopo kwenye mwambao wa Pasifiki katika jimbo la Kalifornia. Ni mji mkubwa wa nne wa Kalifornia ukiwa na wakazi 744,000.

San Francisco iko kwenye rasi kati ya Pasifiki na hori ya San Francisco. Mlangobahari wa kuingia katika hori huitwa "Golden Gate".

Mji hutembelewa na watalii wengi wanaopenda kuangalia daraja la Golden Gate, kisiwa cha Alcatraz na gereza lake, halafu kuzunguka mjini kwa reli za nyaya.

Mji unajulikana pia kwa jumuiya kubwa za mashoga na wabasha.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne