Shamba

Ramani ya dunia ikionyesha vitovu vya kilimo na kilivyoenea katika historia ya awali: Mashariki ya Kati (9,000 KK), beseni za mito Yangtze na Mto wa Njano (7,000 KK), na nyanda za juu za Guinea Mpya (7,000–4,000 KK), Mexico ya Kati (3,000–2,000 KK), sehemu za kaskazini za Amerika Kusini (3,000–2,000 KK), Afrika Kusini kwa Sahara (3,000–2,000 KK), upande wa mashariki wa Amerika Kaskazini (2,000–1,000 KK).[1]
Shamba la nanasi huko DRC

Shamba (kutoka Kifaransa "champ") ni eneo la ardhi ambalo limetengwa kwa ajili ya shughuli za kilimo kwa lengo la kuzalisha mazao ya chakula na mazao mengineyo; ni kitu cha msingi katika uzalishaji wa chakula.

Neno hili linatumika kwa vitengo maalamu kama vile mashamba ya nafaka, mashamba ya mbogamboga, mashamba ya Mazao ya biashara na mashamba ya matunda.

Mara nyingi mashamba yanaendana na ufugaji wa ng'ombe wa maziwa, nguruwe, kuku n.k., pamoja na ardhi inayotumika kwa uzalishaji wa fuwele asili, nishati ya mimea na bidhaa nyinginezo.

Inahusisha ranchi, mashamba makubwa na bustani pamoja na ardhi.

  1. Diamond, J.; Bellwood, P. (2003). "Farmers and Their Languages: The First Expansions". Science. 300 (5619): 597–603. Bibcode:2003Sci...300..597D. doi:10.1126/science.1078208. PMID 12714734.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne