Ufaransa

République française Jamhuri ya Kifaransa
Bendera ya Ufaransa Nembo la Ufaransa
Bendera ya Ufaransa Nembo la Ufaransa
National motto: Uhuru, Usawa, Undugu
(Kifaransa: Liberté, Egalité, Fraternité)
Mahali pa Ufaransa
Lugha rasmi Kifaransa1
Mji mkuu Paris
Mji mkubwa Paris
Rais: Emmanuel Macron
Waziri Mkuu: Gabriel Attal
Eneo
 - Jumla2


 - Ufaransa bara3



 - % maji
Nafasi ya 42
674,843 km²
(260,558 sq. mi.)
Nafasi ya 47
551,695 km²4
(213,011 sq. mi.)
543,965 km²5
(210,026 sq. mi.)
0.26%
Wakazi
(1 Januari 2023)
 - Total2
 - Ufaransa bara3
 - Density3
Nafasi ya 20

68,042,591
65,834,837
116/km²
GDP (PPP)
  - Jumla (2003)
  - GDP/mtu
Nafasi ya 5
$1.661 Trillioni
$27,600
Pesa Euro (€)6, CFP Franc7
Kanda ya wakati
 - in summer
CET (UTC+1)3
CEST (UTC+2)3
Wimbo wa taifa La Marseillaise
Internet TLD .fr
Calling Code 33

1 Taz. #Demografia kwa lugha za kimkoa
2 Eneo lote la Ufaransa pamoja na mikoa ya ng'ambo lakini bila Antaktika.
3 Ufaransa bara pekee (=Ufaransa ya Ulaya)
4 Namba za taasisi ya jiografia ya Ufaransa
5 Kumbukumbu ya ofosi ya ardhi
6 Jamhuri yote ya Kifaransa bila maeneo katika Pasifiki
7 Maeneo ya ng'ambo katika Pasifiki pekee

Ramani ya Ufaransa katika Ulaya.

Ufaransa ni nchi ya Ulaya na mwanachama mwanzilishi wa Umoja wa Ulaya.

Mji mkuu ni Paris.

Eneo lake ni km² 674,843; na idadi ya wakazi ni 63,044,000.

Imepakana na Ubelgiji, Luxemburg, Ujerumani, Uswisi, Italia, Monako, Andorra na Hispania.

Ufaransa ulikuwa kati ya nchi zenye makoloni mengi ikasambaza lugha yake kote duniani na kutunza uhusiano wa pekee na nchi nyingine zinazotumia Kifaransa.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne