Uislamu barani Asia

Uislamu kwa nchi

Uislamu ulianza barani Asia katika karne ya 7 wakati wa zama za uhai wa Mtume Muhammad. Idadi kubwa ya wafuasi wa dini ya Kiislamu wameishi huko Asia na hasa mjini Magharibi mwa Asia na Kusini tangu kuanza kwa historia ya Uislamu.

Uislamu unasemekana kufika mjini Manipur (Kaskazini mashariki mwa India) mwaka 615 kupitia mjini Chittagong ambayo ni sehemu ya pwani ya Bangladesh ya leo katika zama za biashara ya njia ya hariri (vyote, nchi kavu na baharini) wakati Sa'ad ibn abi Waqqas (594-674) na wengine walioitwa Uwais al-Qarni (594-657), Khunais ibn Hudhaifa, Saeed ibn Zaid, Wahb Abu Kabcha, Jahsh na Jafar ibn Abu Talib - walitoa dawah kule.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne