Ujerumani

Bundesrepublik Deutschland
Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani
Bendera ya Ujerumani Nembo ya Ujerumani
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Einigkeit und Recht und Freiheit
(Kijerumani: "Umoja na Haki na Uhuru”)
Wimbo wa taifa: Wimbo wa Wajerumani (beti ya tatu)
Umoja na Haki na Uhuru
Lokeshen ya Ujerumani
Mji mkuu Berlin
52°31′ N 13°24′ E
Mji mkubwa nchini Berlin
Lugha rasmi Kijerumani 1
Serikali
Rais
Chansella (Waziri Mkuu)
Shirikisho la Jamhuri
Frank-Walter Steinmeier
Olaf Scholz
Dola Takatifu la Kiroma

Dola la Ujerumani
Shirikisho la Jamhuri
Maungano
843 (Mkataba wa Verdun)

18 Januari 1871
23 Mei 1949
3 Oktoba 1990
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
357,050 km² (ya 63)
2.416
Idadi ya watu
 - 2022 kadirio
 - 2011 sensa
 - Msongamano wa watu
 
84,270,625 (ya 19)
80,219,695
232/km² (ya 58)
Fedha Euro (€) 2 (EUR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET (UTC+1)
CEST (UTC+2)
Intaneti TLD .de
Kodi ya simu +49
1 Kideni, Kijerumani cha Kaskazini, Kisorbia, Kifrisia ni lugha rasmi katika mikoa kadhaa 2 hadi 1999: Mark (DM)


Ramani ya nchi
Lango la Berlin
Kanisa kuu la Köln
Ruegen-kreidefelsen

Ujerumani (pia: Udachi, kwa Kijerumani: Deutschland) ni nchi ya Ulaya ya Kati.

Imepakana na Denmark, Poland, Ucheki, Austria, Uswisi, Ufaransa, Luxemburg, Ubelgiji na Uholanzi.

Ndiyo nchi yenye watu wengi zaidi katika Ulaya, isipokuwa Urusi.

Uchumi wa Ujerumani una uwezo mkubwa: ni nchi inayouza bidhaa nyingi nje kushinda mataifa yote duniani.

Muundo wake kiutawala ni shirikisho la jamhuri lenye majimbo 16 ndani yake na kila jimbo lina kiwango cha kujitawala.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne