Ukoloni

Ramani ya Ukoloni duniani kabla ya Vita ya Miaka Saba mnamo mwaka 1754
Ramani ya ukoloni duniani mwishoni mwa Vita Kuu ya Pili ya Dunia mwaka 1945.

Ukoloni ni mfumo wa taifa moja kuvuka mipaka yake na kutawala maeneo ya mbali yanayokaliwa na watu wengine kwa nyanja za uchumi, utamaduni na jamii. Maeneo hayo yanaweza kuitwa makoloni ya kawaida au maeneo lindwa tu.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne