Ukristo katika karne za kwanza

     Uenezi wa Ukristo hadi mwaka 325      Uenezi wa Ukristo hadi mwaka 600


Ukristo katika karne za kwanza ni sehemu ya historia ya Kanisa hadi mwaka 325 BK, mwaka ulipofanyika mtaguso mkuu wa kwanza huko Nisea, leo nchini Uturuki.

Kwa kawaida karne hizo tatu zinagawiwa pande mbili: wakati wa Mitume wa Yesu (hadi mwaka 100 hivi) na baada ya kifo chao wote.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne