Umeme wa upepo

Uwezo wa miradi ya umeme wa upepo iliyoanzishwa duniani kati ya 1996 na 2008
Mradi wa Umeme wa Upepo Fenton Wind Farm katika Minnesota (Marekani).

Umeme wa upepo ni umeme unaopatikana kwa njia ya mitambo inayotumia nguvu ya upepo na kuibadilisha kuwa umeme. [1]

  1. "Wind power in the UK". BBC News. 2007-12-18. Iliwekwa mnamo 2010-03-10.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne