Uturuki

Türkiye Cumhuriyeti
Jamhuri ya Uturuki
Bendera ya Turkey Nembo ya Turkey
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Kituruki: Yurtta Sulh, Cihanda Sulh
("Amani nyumbani, amani duniani")
Wimbo wa taifa: İstiklal Marşı
Lokeshen ya Turkey
Mji mkuu Ankara
41°1′ N 28°57′ E
Mji mkubwa nchini Istanbul
Lugha rasmi Kituruki
Serikali Jamhuri
Recep Tayyip Erdoğan
Kuundwa kwa nchi ya kisasa
Kuundwa kwa bunge
Mwanzo wa vita ya uhuru
Ushindi
Kutangaza Jamhuri

23 Aprili 1920
19 Mei 1919
30 Agosti 1922
29 Oktoba 1923
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
783,562 km² (ya 37)
1.3
Idadi ya watu
 - [[]] kadirio
 - 2014 sensa
 - Msongamano wa watu
 
{{{population_estimate}}} (ya 18 1)
77,695,904
101/km² (ya 107 1)
Fedha Lira Mpya2 (TRY)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
EET (UTC+2)
CEST (UTC+3)
Intaneti TLD .tr
Kodi ya simu +90

-



Uturuki (Jamhuri ya Uturuki; kwa Kituruki: Türkiye Cumhuriyeti) ni nchi ya kimabara kati ya Asia na Ulaya.

Sehemu kubwa iko Asia ya magharibi lakini sehemu ndogo ya eneo lake upande wa magharibi wa Bosporus iko Ulaya.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne