Welisi

'Cymru
Welisi (Wales)
Bendera ya Welisi Nembo ya Welisi
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Cymru am byth (Kiwelisi)
"Welisi milele"
Wimbo wa taifa: Hen Wlad Fy Nhadau (Kiwelisi)
Nchi ya mababu yangu
Lokeshen ya Welisi
Mji mkuu Cardiff
51°29′ N 3°11′ W
Mji mkubwa nchini Mji mkuu
Lugha rasmi Kiwelisi, Kiingereza
Serikali
Mfalme
Waziri Mkuu wa Ufalme
Waziri kiongozi wa Wales
Ufalme wa Kikatiba
Charles III wa Uingereza
Rishi Sunak
Mark Drakeford
Muungano wa Welisi
Mfalme Gruffudd ap Llywelyn
1056
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
20,779 km² ()
Idadi ya watu
 - 2017 kadirio
 - 2011 sensa
 - Msongamano wa watu
 
3,124,0001 ()
3,063,456
140/km² ()
Fedha Pound sterling (GBP)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
GMT (UTC0)
BST (UTC+1)
Intaneti TLD .uk2
Kodi ya simu +44

-



Ramani ya Welisi

Welisi (kutoka Kiingereza: Wales; kwa Kiwelisi: Cymru  matamshi ?: kimru) ni nchi ya Ulaya kwenye kisiwa cha Britania na sehemu ya Ufalme wa Muungano.

Welisi ni rasi kubwa inayoingia katika sehemu ya Bahari Atlantiki inayotenganisha Britania na Eire (Ireland). Inapakana na Uingereza upande wa mashariki. Pande nyingine ni pwani. Eneo lake lote lina km² 20,735.

Mji mkuu ni Cardiff (kwa Kiwelisi: Caerdydd).


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne