Kiholanzi Nederlands (nl) |
|
---|---|
Lugha | |
Asili | Uholanzi Ubelgiji Suriname Aruba Curaçao Sint Maarten |
Wasemaji |
L1 : 25 Milioni |
Familia za lugha | Kihindi-Kiulaya Kijerumani Kijerumani cha Magharibi Kifrankonia cha Chini |
Aina za Awali | Kihindi-Kiulaya cha Kale Kijerumani cha Kale Kiholanzi cha Kale Kiholanzi cha Kati |
Mfumo wa kuandika | Alfabeti ya Kilatini |
Lugha Rasmi | |
Lugha rasmi kwa | Uholanzi Ubelgiji Suriname Aruba Curaçao Sint Maarten Jumuiya ya Ulaya (kama lugha rasmi) |
Nambari za Msimbo | |
ISO 639-1 | nl |
ISO 639-2 | nld |
ISO 639-3 | nld |
Glottolog | dutc1256 |
![]() Lugha ya kwanza kwa wengi Lugha rasmi Kiafrikana Wachache wanaozungumza |
Kiholanzi ni lugha ya Kijerumaniki ya magharibi katika jamii ya lugha za Kihindi-Kiulaya inayozungumzwa nchini Uholanzi, Ubelgiji na Surinam na watu milioni 23. Katika Uholanzi inaitwa "Nederlands" na katika Ubelgiji inaitwa "Vlaams".
Kiafrikaans cha Afrika Kusini ni lugha iliyotoka katika Kiholanzi. Kijerumani ya Kaskazini ni karibu sana na Kiholanzi.