Misemo ni kauli fupifupi zinazotumiwa na jamii ili kusisitiza ukweli wa jambo fulani. Ni mafungu ya maneno ambayo hutumiwa na jamii fulani kwa lengo la kutoa msisitizo wa maadili fulani.
Misemo huunganisha dhana au mawazo mawili kuwa moja.
Mifano:
Msemo unapokuwepo katika jamii kwa muda halafu ukatoweka basi unaitwa "msimu".