Msimbo wa simu, unaojulikana pia kama msimbo wa kupiga simu wa nchi, ni namba ya kipekee inayotumiwa kupiga simu za kimataifa kwa nchi au eneo tofauti. Misimbo hii inasimamiwa na Umoja wa kimataifa wa mawasiliano(ITU) chini ya mpango wa E.164 wa upangaji wa namba za simu.[1]