Rwanda

Jamhuri ya Rwanda
Repubulika y’u Rwanda
Kaulimbiu: Ubumwe, Umurimo, Gukunda Igihugu (Kinyarwanda: "Umoja, Kazi, Uzalendo")
Wimbo wa taifa: Rwanda Nziza
Mahali pa Rwanda
Mji mkuu
na mkubwa
Kigali
Lugha rasmiKinyarwanda, Kiingereza, Kifaransa, Kiswahili
 • Rais
Paul Kagame
Historia
 • Himaya ya Ujerumani
1884
 • Utawala wa Ubelgiji
1916
 • Uhuru kutoka Ubelgiji
1 Julai 1962
Eneo
 • Jumlakm2 26,338 (ya 144)
 • Maji (asilimia)6.3%
Idadi ya watu
 • Kadirio la 202414,368,000
 • Msongamano546/km2
PLT (PPP)Kadirio la 2024
 • Jumla $45.1 bilioni
 • Kwa kila mtu $3,078
PLT (Kawaida)Kadirio la 2024
 • Jumla $14.2 bilioni
 • Kwa kila mtu $974
HDI (2022) 0.534
Gini (2016)43.7
SarafuFaranga ya Rwanda (RWF)
Majira ya saaUTC+2 (CAT)
Upande wa magariKulia
Msimbo wa simu+250
Jina la kikoa.rw

Rwanda, rasmi kama Jamhuri ya Rwanda, ni nchi isiyo na pwani inayopatikana katika Afrika ya Kati-Mashariki.Inapakana na Uganda kaskazini, Tanzania mashariki, Burundi kusini, na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo magharibi. Ina idadi ya watu takriban milioni 14.3, ikiwa ya 72 duniani. Jiji lake kubwa zaidi na mji mkuu ni Kigali. Rwanda imegawanyika katika mikoa 4 na wilaya 30. Inajulikana kwa mandhari yake ya milima yenye kijani kibichi.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne