Jamhuri ya Ufaransa La République française (fr) | |
---|---|
Kaulimbiu: Liberté, Egalité, Fraternité (fr) Uhuru, Usawa, Undugu (sw) | |
Wimbo wa taifa: "La Marseillaise" (fr) | |
Mji mkuu na mkubwa | Paris |
Lugha rasmi | Kifaransa |
Kabila |
|
Dini |
|
Uraia | Mfaransa |
• Rais | Emmanuel Macron |
• Gérard Larcher | Rais wa Seneti |
Historia | |
• Ufalme wa Wafaransa wa Magharibi – Mkataba wa Verdun | 16 Agosti 843 |
• Jamhuri ya Kwanza ya Ufaransa | 22 Septemba 1792 |
• Katiba ya sasa – Jamhuri ya Tano ya Ufaransa | 4 Oktoba 1958 |
Eneo | |
• Jumla | km2 643,801 km² |
• Msongamano | 122/km2 |
PLT (PPP) | Kadirio la |
• Jumla | ▲ $4.44 Trilioni |
• Kwa kila mtu | ▲ $65,940 |
PLT (Kawaida) | Kadirio la |
• Jumla | ▲ $3.17 Trilioni |
• Kwa kila mtu | ▲ $48,070 |
HDI (2022) | ▲ 0.910 |
Gini (2022) | 29.7 |
Sarafu | Euro CFP franc (XPF) |
Majira ya saa | UTC+1 |
Msimbo wa simu | +33 |
Jina la kikoa | .fr |
Tanbihi: Pato La Taifa inatumia data ya IMF chapisho la 2024 Eneo Jumla Pia linajumuisha maeneo ya Mbali ya Ufaransa |
Ufaransa, rasmi Jamhuri ya Ufaransa (République française fr) ), ni nchi iliyopo magharibi mwa Ulaya. Kulingana na sensa ya 2020 Ufaransa ina idadi ya watu milioni 67.1 na eneo la kilomita za mraba 643,801 .Inapakana na Ubelgiji na Uholanzi upande wa kaskazini, Ujerumani, Uswidi, na Italia upande wa mashariki, Uhispania na Andorra upande wa kusini-magharibi. Nchi pia ina maeneo ya ng'ambo, kama vile visiwa vya Caribbean, Bahama, na Pasifiki. Mji mkuu na mkubwa ni Paris, na lugha rasmi ni Kifaransa.